Lengo letu ni kuelimisha, kuhamasisha na kuwaunganisha wakulima na wafugaji kupitia mbinu bora, za kisasa na zenye tija katika kilimo na ufugaji wa mbuzi kibiashara. Tunalenga kuongeza uzalishaji wa mbuzi na kipato, kuboresha maisha ya jamii vijijini na mijini na kuwa daraja linalowaunganisha moja kwa moja wafugaji na masoko salama, yenye faida na uhakika.
Tuesday, April 12, 2022
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa KBLC SACCOS ndugu Emmanuel Edwin Minja (Kulia) akiwa na Meneja wa KBLC SACCOS ndugu Saiphet William Mlacha (Kushoto) katika ofisi ya Kipunguni B Lutheran Church SACCOS - KBLC tarehe 29-03-2022 saa 7:48 mchana.
Uongozi ni maono
Meneja wa SACCOS, Bw. Saiphet William Mlacha, akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa KBLC SACCOS, Ndugu Emmanuel Edwin Minja, katika ofisi za Kipunguni B Lutheran Church SACCOS (KBLC) mnamo tarehe 29 Machi 2022, saa 7:48 mchana.
Hakika, uongozi ni maono.
Meneja wa SACCOS, Bw. Saiphet William Mlacha, akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa KBLC SACCOS, Ndugu Emmanuel Edwin Minja, katika ofisi za Kipunguni B Lutheran Church SACCOS (KBLC) mnamo tarehe 29 Machi 2022, saa 7:48 mchana.Hakika, uongozi ni maono.
Subscribe to:
Comments (Atom)
