Friday, December 23, 2022

Maandalizi ya Krismas kwa mwaka 2022 yanaendelea kupamba moto. Picha inaonyesha harakati za maandalizi ya sherehe za Krismasi yanaendelea kwa kasi, watu wakijiandaa kwa chakula cha sikukuu

 


Mzee wa kabila moja maarufu huko Kaskazini mwa Tanzania mkoani Kilimanjaro akitokea sokoni kujipatia mbuzi wa kitoweo. Hii ni taswira ya kiutamaduni na kiuchumi, inaonyesha desturi ya kununua mbuzi kwa ajili ya sikukuu. Picha na Emmanuel Minja

No comments:

Post a Comment