Tanzania ni nchi nzuri, twiga ni ishara moja tuu
Inaelezea kwa uzuri jinsi mnyama kama twiga alivyo alama ya fahari ya taifa lakini pia ni sehemu ndogo tu ya uzuri wa jumla wa nchi ya Tanzania. Kuna mengi zaidi yanayofanya Tanzania kuwa nchi ya kipekee ambayo kila mtu duniani angetamani kutembelea kuona:
Hifadhi za Taifa – Serengeti, Ngorongoro, Mikumi, Ruaha... ni hazina ya wanyama pori .
Mlima Kilimanjaro – ni mlima mrefu kuliko milima yote Afrika.
Ziwa Tanganyika & Ziwa Victoria – Ni miongoni mwa maziwa makubwa zaidi duniani.
Zanzibar – Historia yake, fukwe na utamaduni wa Kiswahili.
Lugha ya Kiswahili – Lugha ya umoja, upendo na mawasiliano.
Utamaduni na Sanaa – Ngoma zetu, vazi la kitenge, chakula kama ugali, wali, samaki, ndizi za uchaggani, unyakiusani , bukoba... na mengine mengi yanaongeza uzuri wa Tanzania
Watu wake ni wakarimu kuanzia Kaskazini, Magharibi, Mashariki hadi kusini mwa nchi wamejaa wananchi wenye upe npendo na ukarimu wa pekee kwa wageni.
No comments:
Post a Comment