Lengo letu ni kuelimisha, kuhamasisha na kuwaunganisha wakulima na wafugaji kupitia mbinu bora, za kisasa na zenye tija katika kilimo na ufugaji wa mbuzi kibiashara. Tunalenga kuongeza uzalishaji wa mbuzi na kipato, kuboresha maisha ya jamii vijijini na mijini na kuwa daraja linalowaunganisha moja kwa moja wafugaji na masoko salama, yenye faida na uhakika.
Wednesday, August 1, 2012
Je wewe ulisomea mazingira kama haya.Kuna kila sababu ya kuwekeza katika sekta ya elimu.Tukiboresha mazingira na miundombinu itakayochochea elimu bora Tanzania.
No comments:
Post a Comment