KAMPENI ZAKE JIMBO LA CHALINZE ZASHIKA KASI ZAIDI



Diwani wa Kata ya Msoga,Mohamed Mzimba akitoa taarifa ya Kata yake mbele ya Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) wakati wa Mkutano wa Kampeni za CCM katika Kata hiyo ya Msoga.

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi (CCM),Nape Nnauye (kulia) akishiriki kucheza Ngoma na wazee wa Kabila la Wakwere wakati wa Mkutano wa Kampeni za CCM kwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
No comments:
Post a Comment