Lengo letu ni kuelimisha, kuhamasisha na kuwaunganisha wakulima na wafugaji kupitia mbinu bora, za kisasa na zenye tija katika kilimo na ufugaji wa mbuzi kibiashara. Tunalenga kuongeza uzalishaji wa mbuzi na kipato, kuboresha maisha ya jamii vijijini na mijini na kuwa daraja linalowaunganisha moja kwa moja wafugaji na masoko salama, yenye faida na uhakika.
Wednesday, January 16, 2013
Maprofesa wakiwa wanaendelea na kazi ya kuchimbua nyayo za zamadamu(WANACHIMBUA NYAYO ZA LAITOLI HUKO NGORONGORO)
JAKAYA KIKWETE NDANI YA LAITOLI NGORONGORO. Hapa Mheshimiwa Rais akiwa anashika nyayo hizo kwa makini ilikuthibitisha
kweli ni za watu wa kale waliopita katika kijiji hicho cha Laitoli ndani
ya hifadhi ya ngorongoro
No comments:
Post a Comment