Lengo letu ni kuelimisha, kuhamasisha na kuwaunganisha wakulima na wafugaji kupitia mbinu bora, za kisasa na zenye tija katika kilimo na ufugaji wa mbuzi kibiashara. Tunalenga kuongeza uzalishaji wa mbuzi na kipato, kuboresha maisha ya jamii vijijini na mijini na kuwa daraja linalowaunganisha moja kwa moja wafugaji na masoko salama, yenye faida na uhakika.
Wednesday, January 31, 2018
Rais Dkt. John Magufuli amezindua mpango wa hati ya kusafiria ya kielektroniki ya Tanzania ambayo itarahisisha taratibu za utoaji wa hati, ukusanyaji wa maduhuli, kuimarisha ulinzi na usalama na kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini ikiwemo mbuga za wanyama.
Akizindua mpango huo Jijini Dar es salaam, Rais Magufuli amesema suala la uhamiaji ni nyeti na muhimu sana hasa kwa usalama wa nchi ambapo hapo awali hakukuwa na utaratibu makini wa kutoa hati za kusafiria, vibali vya ukaaji na ukusanyaji wa mapato kutoka maombi ya hati za kusafiria.
Rais Magufuli ameishukuru Serikali ya Ireland kwa ufadhili wa Mradi huo ambao umegharimu Shilingi Bilioni 127 huku akiipatia Idara ya Uhamiaji nyumba 103 Mjini Dodoma pamoja na Shilingi Bilioni kumi kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za uhamiaji Mjini Dodoma ikiwa ni hatua ya serikali kuhamia Dodoma.
Balozi wa Ireland hapa nchini Paul Sherlock amesema nchi yake ina uzoefu mkubwa katika uendeshaji wa mifumo ya kilektroniki hivyo itasaidia kutekeleza Mpango wa Hati ya Kusafiria ya Kielektroniki ya Tanzania.
Kamishna Mkuu wa Idara ya Uhamiaji nchini Dkt. Anna Makakala amesema mpango huo utarahisisha kuhudumia wageni wengi wanapoingia kwa mkupuo, kudhibiti wahamiaji haramu na kuongeza mapato ambapo katika kipindi cha kutoka Julai hadi Desemba mwaka jana Idara ya Uhamiaji ilikuwa imekusanya Shilingi Bilioni 85 kutokana na maduhuli.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dokta Mwigulu Nchemba amesema utaratibu huo ni hatua muhimu katika mapambano dhidi ya uhalifu wa kimataifa pamoja na kuziba mianya ya kugushi hati za kusafiria kama ilivyokuwa hapo awali.
Thursday, January 11, 2018
Sunday, December 31, 2017
KIPUNGUNI B LUTHERAN CHURCH SACCOS WAPANIA KULETA MAPINDUZI YA KILIMO KIDUGALO KATA YA KURUI KISARAWE
Sezarius Kitingati,Remmy Magendo, Julius Ringo, Emmanuel Edwin Minja , mtendaji wa Kidugalo, Athuman Madenge
Mchungaji Marko Mdumi, Huluka Amir Digosi,Genera, Mohamed Shaban Mwanga, Athuman Madenge
Mwenyekiti wa Kidugalo Athuman Madenge pamoja na wasaidizi wake wakiwakaribisha wancahama wa SACCOS kIDUGALO kISARAWE. Wengine wanaoshuhudia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B Lutheran Church SACCOS Julius Gilbeth Ringo, Mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Minja ,mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo, mtendaji wa Kijiji cha Kidugalo, Goodluck Elia Msoka, mama Rogathe Exaud Ngowo, Kisavera Matola, Nickson Ringo na wengine juu ya mradi wa ardhi Kisarawe.
Mwenyekiti wa Kidugalo Athuman Madenge pamoja na wasaidizi wake wakiwakaribisha wancahama wa SACCOS kIDUGALO kISARAWE. Wengine wanaoshuhudia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B Lutheran Church SACCOS Julius Gilbeth Ringo, Mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Minja ,mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo, mtendaji wa Kijiji cha Kidugalo, Goodluck Elia Msoka, mama Rogathe Exaud Ngowo, Kisavera Matola, Nickson Ringo na wengine juu ya mradi wa ardhi Kisarawe.
Mwenyekiti wa Kidugalo Athuman Madenge pamoja na wasaidizi wake wakiwakaribisha wancahama wa SACCOS kIDUGALO kISARAWE. Wengine wanaoshuhudia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B Lutheran Church SACCOS Julius Gilbeth Ringo, Mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Minja ,mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo, mtendaji wa Kijiji cha Kidugalo, Goodluck Elia Msoka, mama Rogathe Exaud Ngowo, Kisavera Matola, Nickson Ringo na wengine juu ya mradi wa ardhi Kisarawe.
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B lutheran Church SACCOS Julius Gilbeth Ringo, Mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Minja ,mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo, mtendaji wa Kijiji cha Kidugalo, Goodluck Elia Msoka, mama Rogathe Exaud Ngowo, Kisavera Matola, Nickson Ringo wakishauriana mambo mbalimbali juu ya mradi wa ardhi Kisarawe.
Wajumbe wakifurahia jambo kutoka kwa mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Edwin Minja akiwa anatoa maelezo mbalimbali ya mardi wa ardhi Kisarawe, Mzee Vicent Francis, Sezarius Kitingati, Dominick Ngandama, Mchungaji Marko Mdumi, Kefa Yusto Mwanri, Huluka Amir Digosi Msimamizi wa Mradi /mwakilishi wa wazee Kidugalo na wajumbe wa Serikali ya Kidugalo
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B lutheran Church SACCOS Julius Gilbeth Ringo, mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo, Mama Anne Mazala, Eva Shoo, Irine Mkony, mama Rogathr Exaud Ngowo, Kisavera Matola, Nickson Ringo wakimsikiliza mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Edwin Minja akiwa anatoa maelezo mbalimbali ya mardi wa ardhi Kisarawe.
Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B lutheran Church SACCOS Emmanuel Minja,meneja Sezarius Kitingati na mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo wakiteta jambo mbela ya wanachama.
Injinia Kitundu ,Goodluck Msoka na wanachama wengine wakikagua maeneo yao huko Kidugalo Kisarawe
Monica MPANDA AKIKAGUA ENEO LAKE HUKO kIDUGALO
Wanacha wetu mama Evelyne Kamugisha, Rahel Mbua, Monica Mpanda wakiwa kwenye mapumziko Kidugalo
Meneja wa Kipunguni B SACCOS ndugu Sezarius Kitingati akitoa maelekezo mbalimbali kwa wanachama Kefa Yusto Mwanri ,Anne Mazalla na wengineo
Mama Anne Mazalla akiteta jambo na meneja wa Kipunguni B SACCOS ndugu Sezarius Kitingati
Sezarius Kitingati,Remmy Magendo, Julius Ringo, Emmanuel Edwin Minja , mtendaji wa Kidugalo, Athuman Madenge
Mchungaji Marko Mdumi, Huluka Amir Digosi,Genera, Mohamed Shaban Mwanga, Athuman Madenge
Mwenyekiti wa Kidugalo Athuman Madenge pamoja na wasaidizi wake wakiwakaribisha wancahama wa SACCOS kIDUGALO kISARAWE. Wengine wanaoshuhudia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B Lutheran Church SACCOS Julius Gilbeth Ringo, Mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Minja ,mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo, mtendaji wa Kijiji cha Kidugalo, Goodluck Elia Msoka, mama Rogathe Exaud Ngowo, Kisavera Matola, Nickson Ringo na wengine juu ya mradi wa ardhi Kisarawe.
Mwenyekiti wa Kidugalo Athuman Madenge pamoja na wasaidizi wake wakiwakaribisha wancahama wa SACCOS kIDUGALO kISARAWE. Wengine wanaoshuhudia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B Lutheran Church SACCOS Julius Gilbeth Ringo, Mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Minja ,mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo, mtendaji wa Kijiji cha Kidugalo, Goodluck Elia Msoka, mama Rogathe Exaud Ngowo, Kisavera Matola, Nickson Ringo na wengine juu ya mradi wa ardhi Kisarawe.
Mwenyekiti wa Kidugalo Athuman Madenge pamoja na wasaidizi wake wakiwakaribisha wancahama wa SACCOS kIDUGALO kISARAWE. Wengine wanaoshuhudia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B Lutheran Church SACCOS Julius Gilbeth Ringo, Mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Minja ,mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo, mtendaji wa Kijiji cha Kidugalo, Goodluck Elia Msoka, mama Rogathe Exaud Ngowo, Kisavera Matola, Nickson Ringo na wengine juu ya mradi wa ardhi Kisarawe.
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B lutheran Church SACCOS Julius Gilbeth Ringo, Mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Minja ,mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo, mtendaji wa Kijiji cha Kidugalo, Goodluck Elia Msoka, mama Rogathe Exaud Ngowo, Kisavera Matola, Nickson Ringo wakishauriana mambo mbalimbali juu ya mradi wa ardhi Kisarawe.
Wajumbe wakifurahia jambo kutoka kwa mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Edwin Minja akiwa anatoa maelezo mbalimbali ya mardi wa ardhi Kisarawe, Mzee Vicent Francis, Sezarius Kitingati, Dominick Ngandama, Mchungaji Marko Mdumi, Kefa Yusto Mwanri, Huluka Amir Digosi Msimamizi wa Mradi /mwakilishi wa wazee Kidugalo na wajumbe wa Serikali ya Kidugalo
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B lutheran Church SACCOS Julius Gilbeth Ringo, mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo, Mama Anne Mazala, Eva Shoo, Irine Mkony, mama Rogathr Exaud Ngowo, Kisavera Matola, Nickson Ringo wakimsikiliza mwenyekiti wa Bodi Emmanuel Edwin Minja akiwa anatoa maelezo mbalimbali ya mardi wa ardhi Kisarawe.
Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Kipunguni B lutheran Church SACCOS Emmanuel Minja,meneja Sezarius Kitingati na mwenyekiti wa kamati ya ardhi Kidugalo Remmy Magendo wakiteta jambo mbela ya wanachama.
Injinia Kitundu ,Goodluck Msoka na wanachama wengine wakikagua maeneo yao huko Kidugalo Kisarawe
Monica MPANDA AKIKAGUA ENEO LAKE HUKO kIDUGALO
Wanacha wetu mama Evelyne Kamugisha, Rahel Mbua, Monica Mpanda wakiwa kwenye mapumziko Kidugalo
Meneja wa Kipunguni B SACCOS ndugu Sezarius Kitingati akitoa maelekezo mbalimbali kwa wanachama Kefa Yusto Mwanri ,Anne Mazalla na wengineo
Mama Anne Mazalla akiteta jambo na meneja wa Kipunguni B SACCOS ndugu Sezarius Kitingati
MKAKATI WA KUENDELEZA MAENEO YA ARDHI
MZEE MWIRU
WAWEKEZAJI WAKIWA KIDUGALO
MSOKA AKIVINJARI KIDUGALO
KARIBU SERIKALI YA KIJIJI CHA KIDUGALO KISARAWE
WAJUMBE WA BODI YA SACCOS GOODLUCK MSOKA, EMMANUEL MINJA NA SERARIUS KITINGATI WAKITETA JAMBO
Mzee Gilbert Ngandama , Goodluck Ringo na Agness Lukindo wakielekea kwenye mashamba yao
Wajumbe wakisikiliza uongozi wa KIDUGALO kwa umakini
Mtendaji wa Kijiji cha Kidugalo akiwa anatoa maelekezo mbalimbali kwa wanachama wa SACCOS ya Kipunguni B ambao wamewekeza kwenye kijiji hicho.
Heri ya Mwaka mpya
MZEE MWIRU
WAWEKEZAJI WAKIWA KIDUGALO
MSOKA AKIVINJARI KIDUGALO
KARIBU SERIKALI YA KIJIJI CHA KIDUGALO KISARAWE
WAJUMBE WA BODI YA SACCOS GOODLUCK MSOKA, EMMANUEL MINJA NA SERARIUS KITINGATI WAKITETA JAMBO
WAJUMBE WA BODI YA SACCOS GOODLUCK MSOKA, EMMANUEL MINJA NA SERARIUS KITINGATI WAKITETA JAMBO
WAJUMBE WA BODI YA SACCOS GOODLUCK MSOKA, EMMANUEL MINJA NA SERARIUS KITINGATI WAKITETA JAMBO
Mzee Gilbert Ngandama , Goodluck Ringo na Agness Lukindo wakielekea kwenye mashamba yao
Wajumbe wakisikiliza uongozi wa KIDUGALO kwa umakini
Mtendaji wa Kijiji cha Kidugalo akiwa anatoa maelekezo mbalimbali kwa wanachama wa SACCOS ya Kipunguni B ambao wamewekeza kwenye kijiji hicho.
Heri ya Mwaka mpya
Tuesday, December 12, 2017
Makamu Mwenyekiti wa Kipunguni B Lutheran Church SACCOS Ndugu Julius Gilbert Ringo akiwatambulisha wageni mbalimbali pamoja na vikundi kwa wanachama wa SACCOS na wageni mbalimbali waliohudhuria kwenye mkutano mkuu wa mwaka uliofanyika Jumamosi tarehe 09.12.2017 viwanja vya KKKT Usharika wa Kipunguni B
Subscribe to:
Posts (Atom)