Lengo letu ni kuelimisha, kuhamasisha na kuwaunganisha wakulima na wafugaji kupitia mbinu bora, za kisasa na zenye tija katika kilimo na ufugaji wa mbuzi kibiashara. Tunalenga kuongeza uzalishaji wa mbuzi na kipato, kuboresha maisha ya jamii vijijini na mijini na kuwa daraja linalowaunganisha moja kwa moja wafugaji na masoko salama, yenye faida na uhakika.
Tuesday, December 12, 2017
Maafisa ushirika ndugu Ladislaus Mwanansao na Irine Ngowi toka ofisi ya Ushirika Manispaa ya Ilala wakiendesha Semina juu ya SACCOS, MIKOPO ENDELEVU pamoja na HAKI NA WAJIBU WA MWANACHAMA tarehe 09.12.2017
No comments:
Post a Comment