Lengo letu ni kuelimisha, kuhamasisha na kuwaunganisha wakulima na wafugaji kupitia mbinu bora, za kisasa na zenye tija katika kilimo na ufugaji wa mbuzi kibiashara. Tunalenga kuongeza uzalishaji wa mbuzi na kipato, kuboresha maisha ya jamii vijijini na mijini na kuwa daraja linalowaunganisha moja kwa moja wafugaji na masoko salama, yenye faida na uhakika.
Tuesday, December 12, 2017
Makamu Mwenyekiti wa Kipunguni B Lutheran Church SACCOS Ndugu Julius Gilbert Ringo akiwatambulisha wageni mbalimbali pamoja na vikundi kwa wanachama wa SACCOS na wageni mbalimbali waliohudhuria kwenye mkutano mkuu wa mwaka uliofanyika Jumamosi tarehe 09.12.2017 viwanja vya KKKT Usharika wa Kipunguni B
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment