Lengo letu ni kuelimisha, kuhamasisha na kuwaunganisha wakulima na wafugaji kupitia mbinu bora, za kisasa na zenye tija katika kilimo na ufugaji wa mbuzi kibiashara. Tunalenga kuongeza uzalishaji wa mbuzi na kipato, kuboresha maisha ya jamii vijijini na mijini na kuwa daraja linalowaunganisha moja kwa moja wafugaji na masoko salama, yenye faida na uhakika.
Tuesday, December 12, 2017
Mchungaji Goodluck Mmari wa KKKT Usharika wa Kipunguni B , Mchungaji Fredrick Humprey Minja wa KKKT usharika wa Numeut Bomangombe Moshi Kilimanjaro, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Markaz Ukonga Dar es Salaam Bi Tamasha Mohamed na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mazizini Ukonga Dar es Salaam Bwana Musa Komba pamoja na Diwani wa Kata ya Ukonga Ndugu Zuberi Mwipopo wakifuatilia kwa umakini mkutano mkuu wa Mwaka wa Kipunguni B Lutheran Church SACCOS - KBLC SACCOS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment