Lengo letu ni kuelimisha, kuhamasisha na kuwaunganisha wakulima na wafugaji kupitia mbinu bora, za kisasa na zenye tija katika kilimo na ufugaji wa mbuzi kibiashara. Tunalenga kuongeza uzalishaji wa mbuzi na kipato, kuboresha maisha ya jamii vijijini na mijini na kuwa daraja linalowaunganisha moja kwa moja wafugaji na masoko salama, yenye faida na uhakika.
Wednesday, January 28, 2015
Uzinduzi wa ujenzi wa barabara za Mbezi mwisho-Goba-Tangi Bovu, Barabara ya External –Kilungule, Barabara ya Msewe-Baruti! Hii ni moja ya hatua kubwa sana na muhimu katika utatuzi wa foleni ndani ya Jiji la Dar es Salaam na kuendeleza kwa kiasi kikubwa maeneo ambayo barabara hizo zinapita (ndani ya Jimbo la Ubungo).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment